Shule ya Sekondari Mbozi

Iko pembeni ya Mbozi katika eneo zuri, Shule ya sekondari ya Mbozi (High School) inafundisha ngazi zote (Kidato cha 1 - 6). Imegawanywa katika madarasa kumi na nne. Wanafunzi 234 (2019) wanapata mafunzo bora na kila mada hufundishwa kwa Kiingereza isipokuwa somo la Kiswahili. Wanafunzi wa kike ni asilimia zipatazo 50.

Mtazamo

Shule ya sekondari bora yenye kutoa elimu bora kwa wanafunzi na wanajamii wanaoishi pamoja kwa upendo, amani na maadili mema.

Lengo

Kutoa elimu bora kwa wanafunzi wote na wanajamii katika shule ya sekondari iliyoanzishwa vizuri yenye miundo mbinu iliyokamilika na huduma za kijamii.

Motto wa Shule

Nidhamu na Elimu ni misingi ya maendeleo.

Malazi

Shule hutoa huduma ya malazi kwa wavulana na wasichana. Bweni la wasichana lipo shuleni na linamudu wanafunzi wapatao 450.

Bweni la wavulana pia linapatikana kwenye eneo la shule linalomudu wanafunzi wapatao 300.

Vifaa

Tunatoa vifaa mbalimbali ili kuboresha hali ya kusoma shuleni kwetu. Miongoni mwa vifaa hivyo ni maabara ya kompyuta, maktaba, maabara ya fizikia, maabara ya kemia, baiolojia na zahanati.

Wafanyakazi
Elia Msyaliha - 

Mkuu wa shule

Sijali Benson Mpesya - Makamu Mkuu wa shuleTuosi Mwamengo - 

Mtaaluma Mkuu



Raphael Watson - 

Mtaaluma msaidizi

Omary Sinkonde - Mwalimu wa nidhamu

Mussa Anyimike - Mhasibu wa shule



Pakua fomu yetu ya kujiunga hapa na umpe mtoto wako fursa ya kusoma katika Shule ya Sekondari Mbozi!


Mawasiliano

Shule ya Sekondari Mbozi

S.L.P. 341
Mbozi-Songwe
Tanzania

Barua Pepe:    mbosec@yahoo.com
Simu:     +255 754 203 749
Kiswahili